Masanja Mkandamizaji akiwa Shambani

Mchekeshaji huyo ambaye pia ni mjasiriamali mkubwa, ameshare picha za matukio mbalimbali akiwa shambani kwake na kuandika:
Leo shambani nikawambia vijana watulie niingie jikoni maana niliona kama wanajishtukia kupika hivi, nikawatolea kitu cha walinyama fastaaa!!!
Masanja akijiandaa kwa mapishi
Masanja akipika nguna
Ugali
Masanja Mkandamizaji akiwa Shambani
Reviewed by Tshepo
on
June 15, 2016
Rating:

No comments: