ads

Model Wa Video ya Nuh Mziwanda Afunguka Yeye Mzuri zaidi Ya Shilole

If you feel your rights are being infringed upon, email hassbaby@gmail.com for take down



Shilole amepata mpinzani! Si mpinzani wa kawaida kama
wengine bali ni msichana anayefanana naye kama pacha
wake.

Infact model huyo anaitwa Zena na ikumbukwe kuwa jina
halisi la Shishi ni Zuwena Mohamed!

Ni kama vile wawili hawa walipotezana siku ya kuzaliwa.
Anyway turejee kwenye pointi ya msingi. Unakumbuka Shilole
aliwahi kudai kuwa yeye ndiye muimbaji wa kike mrembo
kuliko wote Bongo? Zena aka Jike Shupa hakubaliani na hilo.
.
“Kwakweli mimi namuona wa kawaida tu,” Zena aliiambia
Clouds E. “Akumbuke na mimi mzuri kuliko yeye,” aliongeza
kwa madaha.

Tangu video ya wimbo huo itoke, uadui kati ya Nuh
Mziwanda na Shilole umeongezeka maradufu. Nuh ameitumia
video ya wimbo huo aliomshirikisha Alikiba kuonesha jinsi
uhusiano wake na Shishi ulivyokuwa na matatizo ikiwemo
kupigwa mara kwa mara na Shishi hajapenda!

Model Wa Video ya Nuh Mziwanda Afunguka Yeye Mzuri zaidi Ya Shilole Model Wa Video ya Nuh Mziwanda Afunguka Yeye Mzuri zaidi Ya Shilole Reviewed by Tshepo on June 16, 2016 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.