Uongozi Changamoto Kubwa Ilikuwa Kumshawishi Belle 9 Ahamie Dar

Uongozi wa kampuni ya Vitamin Music Group unaomsimamiaBelle 9, umedai kuwa mtihani mkubwa uliokuwa nao ni
Muimbaji huyo alihamia Dar mwaka jana baada ya kuendeleakuishi kwao Morogoro licha ya kuwa staa tayari.
wa remix ya Bulger Movie Selfie, meneja wake alidai kuwailibidi Belle ahamie Dar kutokana na kuwa kitovu chaburudani Tanzania..“Ilikuwa ni issue ngumu sana kuweza kwasababu Belle 9 anafamilia kule kwahiyo kumtoa Morogoro kumleta Dar ilikuwa niissue kubwa sana,” alisema meneja wake.
Amesema uamuzi huo ulirahisisha mambo mengi.
Uongozi Changamoto Kubwa Ilikuwa Kumshawishi Belle 9 Ahamie Dar
Reviewed by Tshepo
on
June 16, 2016
Rating:

No comments: